Kiswahili


Nifanye nini nipate kuokokolewa
“Nifanye nini nipate kuoko lewa?”  Hili ndilo swali la muhimu kuliko yote ambayo kamwe tutawahi kuuliza – jibu lake ni la muhimu vivyo hivyo. Tukitaka kwenda mbinguni ni muhimu tuhakikishe kuwa tunajua kuwa jibu sahihi ni lipi. Matokeo ya kutokulijua jibu sahihi ni yanatisha, hata kwa kule kuyafikiria tu. Matokeo yake ni kuishia kuteseka milele huko Jehanam.






_______________
BIBLIA Ni NENO LA MUNGU

Kuna vitabu vingi vizuri vilivyoandikwa lakini kitabu kimoja kimesimama juu ya vyote. Ni kitabu ambacho Mungu anaongea na mwanadamu nacho ni Biblia. Vitabu vingine vimeandikwa na wanaume na wanawake wenye akili sana, lakini Biblia ni tofauti , mwandishi wa Biblia ni Mungu.


___________________________________

KANISA MOJA
moja


kanisa - mwili - misheni

Leo ukitazama kila mahali, kuna makanisa mengi sana. Inachanganya sana tunapofikiri kuhusu jambo hilo. Makanisa mengi sana, kila moja na mafundisho yake na kila moja likifundisha mambo tofauti. Yanatueleza njia tofauti za kumwabudu Mungu, yanatupa maelekezo ya jinsi ya kuishi. Vile vile yanatufundisha njia mbalimbali za kuokolewa.
Hakika hili siyo sahihi! Tunamtumikia Mungu mmoja na tunaye mwokozi mmoja, Yesu Kristo.


KANISA MOJA


No comments:

Post a Comment